Ongezeni outlets kwasababu hio taarifa haifiki kwa muda kwahiyo mgao unatushtukiza na maeneo mengi hakuna info kwa mfano mimi ni msikilizaji mzuri tuu wa radio but kwenye radio au hata TV kumekuwa kimya safari hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Too general mbona huwa mnasema ni maeneo yepi na kwa tarehe na muda gani. Ili tuweze kutumia muda wetu kwa tija sio kukaa kusubiri kama nabahatisha, hata ikibidi kutupa taarifa on a daily basis tupewe. Hii ya jumla jumla haitusaidii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanesco watoe ratiba ya mgao ili wajasiriamali tuweze kujipanga. Wanatufanya tunapoteza muda bure. Walikuwa wanatupa updates kupitia njia tofauti ghafla wamekuwa kimya na umeme unakatika. Wapi customer care dept??? Kupata taarifa ni haki yetu ya msingi kama wateja wao.
Sent using Jamii Forums...
Kwahiyo kilevi ndo ina determine level ya hotel?? Wateja wasio hitajia pombe ni wengi mno na ndo maana akawekeza kaona fursa kubwa iliyopo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila nafsi itaonja mauti. Mwenye uwezo wa kuhuisha na kufisha ni Allah subhana huwa ta'ala pekee yake. Mh. Lisu alipigwa risasi nyingi lakini bado yupo mbona na hilo msiseme ni ushirikina??
Hizi siasa za maji taka mnazipenda kweli. Kama Kuna sheria ilivunjwa wakati hao wanyama wakisafirishwa mbona uliyemtaja hajafikishwa kwenye sheria?? Mmezoea kutuona wajinga kila siku!
Kila mmoja na nafasi yake. Kuwa na msimamo. Tambua kuwa mama ndie mlango wako wa kuingia peponi, ila kuwa muadilifu kama anamuonea mke simama kidete na umtetee mke na hali kadhalika kama mke ni mkosa mwambie. Na uwe mvumilivu na jitahidi kutumia lugha nzuri na adabu ya hali ya juu mwisho wa siku...
Kweli we mbishi. Hata ibilisi ana wafuasi. Hakuna aliye mmbaya asilimia Mia na pia hakuna aliye mzuri asilimia Mia. Hata huyu anamapungufu yake tusubiri dk 90 zake ziishe ndo tulinganishe, Sasa hivi bado mapema.
Nakubaliana na wewe ubabe mwingi na visasi. Unakuta mtu ana investment kubwa lkn hawalioni hilo wanamtreat kama anafanya biashara kwenye briefcase. Wanadai kodi ambazo ni kubwa mno halafu hamna justification.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.