So true! The most gals i have dated are ugly and some malaya, jana tu rafiki yangu wa kike wa karibu kaniambia a'm so dissapointed kisa nimeongea na binti ambaye ni rafiki yake
Kwa jinsi unavyoandika ni wazi kiswahili ni shida kwako i.e Mubaya, kabira ra, kumufanya, etc; nadhani wewe si Manzania
Btw, muhimu kuangalia point inayozungumzwa na si makabila binafsi nafahamu PK anachukiwa na watu kutoka pande zote za makabila ya nchini mwake.
Both; some are born while some are trained. Uhalisia ni kuwa kazi hii unaweza kuajiri hata mzee ili mradi awe anatambulika na awe amekubali kufanya shughuli hiyo. Shughuli inayohitajika ndio inayodetermine uajiri nani/new recruit
Kwenye legal fraternity, the highest position ni kuwa Jaji wa Mahakama Kuu!., Hivyo hiyo ni promotion, ila kimamlaka, DDP ana mamlaka makubwa sio tuu kumshinda jaji yoyote, bali hata kumpita rais wa nchi!.
Thanks.
Pasco
JAJI MKUU NDIO HIGHEST POSITION KAMA UNAMAANISHA MAHAKAMA OTHERWISE...
Tatizo la nguvu za kiume linasababishwa ma mambo mengi kadiri binadamu wanavyotofautiana, baadhi husababishwa na matatizo ya muda mfupi kimawazo na wengine kimwili, na kwa wengine ni matatizo ya kuzaliwa nayo na jinsi miili yao ilivyoumbika.
Binafsi mimi sio mlaji wa vyakula sana wala sifanyi...
Naona umeridhika na nusu mshahara wakati unatakiwa ulipwe wote! Kuhusu muda wa kusimamishwa kazi, ukisoma sheria zote utagundua kuna mkanganyiko hivyo hakuna muda maalumu wa uchunguzi inategemea na nature ya kosa. Kuhusu hatua za kumchukulia mwajiri nadhani so long as utakuwa unapata full...
I think the US is looking forward to more instability in the region, maybe they are targeting the period when the heads of Tanzania,DRC and Rwanda will be changing their madaraka. The US should let talks lead and not violence; afterall the US has failed in many countries with similar problems.
Topic nzuri kwa wale ambao hawajaoa.As for me najuta kuoa, kila siku namuomba Mungu anisaidie nasubiri majibu. Kwa ufupi mke wangu alibadilika zaidi baada ya ndoa mpaka sasa ni miaka miwili ila naona ni karne.Tabia mbaya kwangu ni pamoja na mke kuwa na kiburi , kuwasiliana na x wake muda mwingi...
Hicho kitendo kinaangukia kwenye sheria nyingi tofauti. Unaweza kutumia penal code kwa kuwa amevunja/kuingia bila taarifa au ruhusa. Hii itakua jinai. Unaweza pia kutumia madai(civil) kwa trespass kwenye nyumba yako na mali
Binafsi sioni tatizo hapo coz kama hupendi kuwaita wasomi haulazimishwi..with ur degree or whatever profession u have u can choose how u want to be identified..ever questioned the difference between a teacher and a proffessor ()
Kupata jibu inategemea uko wapi na hiyo pesa umeipataje. Je,ni mkopo umepewa? upo mjini au kijijini? je,shughuli kuu maeneo hayo ni zipi? je,idadi ya watu katika eneo lako ni kiasi gani? Nashindwa kusema ufanye shughuli/ biashara gani kwa kuwa hujajieleza vizuri.biashara kwa...
Mleta mada una ubaguzi,kwani ukiuliza swali bila kumhusisha na kabila au taifa lisilo lake swali lako halitajibiwa?
Na je akiwa mnyarwanda mwenye uraia wa Tanzania swali lako litabaki kama lilivyo?
natamani ubagulhwe siku mojakwa rangi,dini,kabila au taifa ndo ujue jinsi...
Hujui unalosema. Kwani uliambiwa kuwa mwanasheria ndo kutoa hukumu au kwa akili yako unadhani wanasheria wote wangeshinda kesi? Unajua jukumu la mwanasheria katika mahakama?
Binafsi nimesoma fourth cohort Law school, walioongoza kwa kufaulu walitoka vyuo tofauti na UDSM, ACHA UONGO, Weka takwimu! UDSM ilikua enzi zile, angalia hata maofisini uone utendaji wao, UDSM wawe tayari kukubali kuwa wasomi wao wa zamani ndo walioifikisha nchi hapa
pole kwa mkasa huu dada.Kwa bahati nzurh umeligundua mapema kuwa hafai.Huyu mwanaume ana nia ovu ambayo hataki uigundue..inawezekana anataka mali zako kupitia ndoa.Please kumbuka umetumia miaka mingi kujenga maisha...angalia usiyaharibu ndani ya dakika...kama hufahamu kwake wala ndugu zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.