Sasa wewe ndio umeandika lugha gani hapa? Maana nimeshindwa kuelewa kama ni kiingereza ama ni Kiswahili. Jinsi ulivyoandika tu, inadhihirisha kwamba hata mwandiko wako ni mbaya aisee.
Samahani lakini.
Hapo sijui umeongea nini sasa?? Unakosoa utendaji wa Nyerere na katika kuleta Ujamaa na kuondoa ukabila na unalinganisha na utawala wa kishkaji wa Kikwete??
You must be out of your mind.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.