Habari kaka mimi Ni Mkulima ila cjawa mzoefu ndio kwanza nataka kuanza kutokana na darasa hili linalo endelea ...nitaanza na eneo Dogo tu la robo eka 1000m² ....nasari tayari nimeshataarisha ..kutokana na ugumu wa upatikanaji wa mbegu nimeamua kutumia mbegu ya Tanya ...na nasari nilitaarisha...
Kwanza watu wanafuatilia mambo ...na kujua kiundani ndipo huja kuyazungumza mbele za watu ..nani alie wahi kwenda Islamic bank na akakopeshwa fedha kama fedha ....kama yupo ajitokeze..
Habar yako docter pamoja na wana jf......nina mdogo wangu umri wa miaka 19 ....amefanya baka usoni ..kwa muda mrefu na kila cku linakua... ametumia dawa nyingi ila bado ...but wakati alipo enda hospital alipofanyiwa uchunguzi akagundika ni tatizo la ukoma ...kwa muda mrefu sasa zaid ya miezi 6...
Ni kweli interview ipo ila sio kwa wale waliomba juzi wafani ikiwemo na mm.??? Ndio nilishtuka kuona interview ila kuisoma kwa makini sio wale tunao endelea kuomba
Leo naona kwenye website ya police kuna watu wanatakiwa kwenda kufanya usail ( interview ..)kwa wale waliomaliza kidatu cha NNE mwaka 2014. Sasa cjui watu Hawa mwanzo waliandikisha au vp?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.