Raila mwambia rais wakenya bwana uhuru kenyata .kuwa yeye sio mtu wakuitwa chai ikulu.raila amesema kuwa rais asubiri kimbunga kinakuja kikubwa. Sana kitamzua rais mpaka baharini
Raila rejects Uhuru's ‘tea', Ruto fights back
Former Prime Minister Raila Odinga with Suna East Mp...
leo ni bunge la 1o mkutano wa 15 kikao cha 18. Waziri wa uchukuzi aliwasilisha hotuba ya Bajeti ya makadilio na matumizi katika wizara ya uchukuzi ya mwaka wa fedha 2014-2015 na majadiliano yanaendelea.
katika maswali na majibu, Jamani huyu waziri AGrey mwanri .huyu waziri anawajibu wabunge...
Huyu waziri ofisi ya waziri mkuu.aAgrey mbona huyu mtu anajibu maswali kwa ukali sana.km anamgombeza muuliza swali pili km kalazimishwa kujibu hayo maswali ya wabunge
Maskari wanne Wa stakishari wameingia na silaha hapa bar ya kilimani.nakuanza kunywa pombe bunduki zikiwa zimeweka pembeni hii je mangu anarusu wawe hivi picha nimeshindwa kuchukua
Wale watoto waliopambasherehe za muungano pesa zao zimetafunwa uongozi wa shule ya msingi Umoja Temeke.
Wazazi wameandamana kudai posho za watoto wao kila mtoto alfu 50,000/=
Serikali makini nafikiri itawasaidia kama walivyokuwa wanafurahi siku ile ya sherehe ya muungano kwa jinsi...
Hi imekaaje mbona Hawa ITV wamekata mawasiliano ghafla. Wakati tunasumbiria mzee aje amwange Kweli.hii itakuwa mkono wa ccm kunyima watanzania kusikia Kweli toka kwa mzee huyu au nikwangu tu
Jamani hii kinawezekana Kweli.ccm kututungia Wa tzania katiba maana ccm wako million -6 tu wa waliomchagua rais je Hawa wengine .million 39 watakubaliana na matakwa ya wachache Hawa?
Hivi huyu .mama sasa ndio anaonekana.anauchungu na familia ya mzee ngurumo.nakusimama kwenye viombo vya hbri .kuwa anawasiliana.wabunge kila mbunge achangie 20000 na fulana wamechapisha zimeandikwa ngurumo.je huyu mama ndio sasa hivi anaonyesha uchungu.ktk familia ya marehemu kuliko kipindi...
Mkuu wa jeshi la polisi mbona yuko kimya sana kwenye viombo vya habari haonekani kwenye matamasha aonekani nini kimemsibu mangu tofauti na mwema Mara kwa Mara alikua anaonekana akitoa maelekezo kwa polis I kuhusu usalama Wa raia namalizao au mangu kasafiri na mkulu?
Jamani haya magari ya serakali ckuhizi zinakusanya kwenye vituo leo nimeona sted gari hiyo inakusanya 2000 posta ndio serakali yetu imefilisika .mpaka ifikie hali hii
Hivi Hawa jamaa .kweli wako kibiashara Leo cku yatatu kuanzia kwa aziz hali mpka mbagala yote kijichi charambe.nk mbona ilishirika bado wamelala sana je ingekuwa maeneo ya msasani masaki Hii kitu kingekua hivi kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.