Mkuu samahani kama nimekukwaza, lakini kutoa tu support kujenga nyumba ya Bwana kunamzuiaje mtu kutubu dhambi zake (kama anazo)? Tafadhali hata wasiomjua Mungu wanaweza kutumiwa kujenga ufalme, karibu na wewe mkuu wangu tusaidiane kuujenga ufalme.
Mh Mwigulu heshima kwako mkuu,
Mimi ni mwananchi na mpiga kura wako. Ninafarijika sana kukuona hapa jukwaani, hakika tulio wengi tuna imani na wewe.
Mh naomba nitumie fursa hii kukukumbusha,mimi ni mshirika wa kanisa la FPCT Kiomboi karibu na idara ya maji mtaa wa lulumba kwa mchj Lazaro...
Naunga mkono hoja,hivi inaingia akilini mtu unaenda ku renew passport ambayo umekaa nayo miaka nenda rudi,una national id bado unawekewa mizengwe mara oh we will mtanzania,mara uje na invitation letter na visababu vingi tu ambavyo havina msingi wowote. Ingekuwa vizuri utoaji wa passport...
% ya burn kwa wengi ilikuwa zaidi ya 50 which is fatal. Lakini pia wengi wali inhale moto/smoke kwahiyo wanapata pulmonary complications which means chance ya kuishi ni kidogo sana.
Kweli mkuu, inashangaza sana, hawa niwasomi tuliodhani wangelisaidia Taifa kwa kuwaeleza watawala ukweli, kumbe imekuwa tofauti. Elimu zao walizopata hazikuwasaidia kujikomboa kifikra.
Wewe mzee unajifanya mchambuzi huru, lakini kiukweli you're biased, kila unapotoa hoja lazima iwe na mwelekeo wa upande wako ingawa unajaribu kukwepa kana kwamba hauko affiliated na upande fulani, that's insincerity.
Siasa chafu ni ile kuwazuia wengine wasifanye siasa wakati wewe unafanya siasa kwenye mikutano ya hadhara. Unasema wao (wapinzani) wanamchonganisha na kumfitinisha na wananchi waliomchagua, yeye mbona anawachonganisha hao wapinzani dhidi ya wananchi waliowachagua? Ama wewe unafikiri wao hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.