Hehehehehehe...and u beleived the report.. Same country some people come, start business and wanakuwa matajiri . Now u know it is in ya mind dear.
Conman hehehe dear we have Nigerians for that...!hamfiki hapo West Africans wameweka standard juu sana.
Sie kama wakenya... tunanunua vya kwetu. Nataka nikukumbushe Shoprite waliondoka hata huyu mpya hajaja.
Economy imeumizwa lakini sio sababu ya nakumat kufungwa, kabla hawajapalamia biashara ambayo Shoprite iliwashinda wangefanya utafiti...
Tunanunua sana simu kutoka nje kwahiyo hoja ya...
Sijui kwanin mnaamini timefurah biashara za wakenya kufungwa? Mo hoja ya kunogesha uzi ama? Business zimefail kwa sababu hawakujua cha kufanya kwenye uchumi huu. Hakuna maduka yanatembelewa kama hayo... lakin bidhaa ni ghali . Mnauza bidhaa za kenya kwa bei ghali na sie tunaweza kupata bidhaa...
Uongo mkubwaaa... hadi saa hii hakuna hata bilion 100. Hivi nyie mabroker wa Orbit mnadhani kila mtu mjinga?
kuna collecting agents kuna watu wanafanya kazi huko. Hivi mnafikir kujua total collection ni ngumu sana. Acheni ujinga... weka fact zijadiliwe ayakaye nunua afanye hivyo akiwa na...
Asante sana kwa maelezo yako
Nimekutana na tatizo la kupishana sana kutoa kwa matunda kwenye tikiti, yaani matunda kutokomaa kwa wakati mmoja. wakati mengine makubwa mengine ndo yanaanza kutoka na ukuaji wa taratibu wa matunda.
je tatizo hili linasababishwa na nini? na jinsi gani linaweza...
Habari
Asante kwa maelezo yako mazuri sana, nina maswali kidogo kuhusu kilimo cha matikiti maji na hoho
1. Nimeona msisitizo mkubwa kwenye umwagiliaji wa matikiti swali ni je kwa wastani matikiti yanahitaji maji kiasi gani kwa siku ili yawe makubwa na kukomaa viziri? Maeneo ya Dar es salaam na...
Hehehehhehheh!! kwa nidhamu hiyo hata mtaa utakushinda. Huwezi kutoa mawazo yako kwa lugha sahihi ukihakikisha hadhira inakuelewa? utafanya nini sasa kwenye maisha wakati kitu kidogo kama hicho kimekushinda??
Nataman niweke comment ya kiushadadi nashindwa. Sijajua kama huu ushuhuda umenifurahisha au nimehuzunishwa. Ila nina uhakika nimejifunza sana.
Nimekuwa Jf miaka mingi kidogo na nimesoma na kuona mengi . Hii ni jamii chochote kinaweza tokea.
Mamiii, huwezi kufanana na mtu kimatendo. Na kwa watoto kamwe hautakuja kuwa bora zaidi ya mama yao. Fanya majukumu yako kwa upendo wasipokupenda watakuheshimu.
Btw ungekuwa kama yule, huyo bwana asingakuangalia mara mbili, kwa lipi hasa.
Sasa ndo utaamini ,kuwa chuki haina macho. Sijui kama Ali kiba ananufaishwa na hili.
Mi naona hili linamuongezea shigongo topics. Yaan tayari ana vichwa vya habari kama mia.
hiyo sentensi ya mwisho n ukweli sana, ifike mahali sisi tuweke system ya kutibu magonjwa yetu. Kuliko kusema n jukumu la nchi fulani. Na liberia mie nailaumu serikali na wanchi, uganda wanapata Ebola wanaodhibiti kwa haraka kwann wao imewashinda? Kuna mambo mengi ya kujadili zaid ya ubaguzi wa...
Sad, wanawake wachache, hawana silaha wanataka kusema kilichopo moyon wanapigwa? Hivi lin nchi hii maandamano ya wapinzan yatakuwa halali? Wapinzan nikijumuisha wanaharakat ambao wanatendewa hivi hivi. Haturuhusiwi kutoa maoni yetu? Watawala wanalinda maslahi yao kwa gharama yoyote hata kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.