habari wana Jamvi
Naomba kuuliza! Nimefanyiwa operation ya hernia week ya tatu hii.
Tatizo ni kwenye korodani Kuna uvimbe mgumu Sasa nimemuulizia doctor kasema utaisha tu wenyewe. Je na uliza ni kweli au Kuna njia ya kutumia wakuuu
Ni mimi man wile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.