Anatafutwa Binti wa kuuza duka (tarehe ya Mwisho 12/4/2024)
🔹 Awe amemaliza kidato cha 4 au zaidi.
🔸ANAEJUA HESABU.
🔹Umri miaka 25 au zaidi.
🔸AWE ANAISHI MADALE, WAZO, KULANGWA, TEGETA au maeneo mengine jirani.
MWENYE UZOEFU ATAPEWA KIPAUMBELE...
Anatafutwa Binti wa kuuza duka (tarehe ya Mwisho 12/04/2024)
🔹 Awe amemaliza kidato cha 4 au zaidi.
🔸ANAEJUA HESABU.
🔹Umri miaka 25 au zaidi.
🔸AWE ANAISHI MADALE, WAZO, KULANGWA, TEGETA au maeneo mengine jirani.
Njoo DM kwa maelezo zaidi na mawasiliano.
MWENYE UZOEFU ATAPEWA KIPAUMBELE
Pole sana kwa changamoto, kama hutojali unaweza kugusia kidogo changamoto inayokusukuma kubadili biashara? Sababu biashara ya hardware ni biashara yenye uwezekano mkubwa wa kukua na ni bidhaa muhimu au za lazima..
Niko kwenye utata kama wa mleta post, Subaru forester TX vs Harrier 240 g. Mi nachotamani ni matumizi madogo ya mafuta, uimara na service cost ziwe za kawaida (nimetumia Toyota sana)
Pambafuuuuuu....Jf for life. I got the same email as well. And wanakupa na link ya kampuni za kufanyia..na rate ni madolar. Mbaya zaidi ukitafuta website ya Focus Africa yenyewe haieleweki.
Mafuta yamejaa madukani, yana kopo jeupe na mfuniko wa kijani, picha ya rasta.
Kwenda saloon ni muhimu, bila hivyo hazitavutia na una hatari ya kuwa rafu sn, dread zinahitaji matunzo.
Mara ya kwanza hakikisha unaenda kwa mtengenezaji mzuri, sababu ukianza vibaya zitakusumbua sn. La mwisho...
Botouer ilikuwa nzuri sana sana ..ila sasa hivi ziko fake nyingi sn au la mzalishaji kashusha kiwango. For me was good..natoka wamechakachua niko njia panda
Mbao/ Nguzo za plastiki zinauzwa.
Tupigie: 0757 100012.
Tupo Tegeta - Ndevu
Zinafaa sana kwa utengenezaji wa samani, ujenzi wa uzio, camps za watalii n.k. Haziliwi na wadudu, haziozi, zinadumu muda mrefu sana. Bei zinatofautiana kulingana na size; zinaanzia 18,000 na kuendelea.
Tunauza mbao na nguzo za plastiki (zilizotengenezwa kwa mabaki ya plastiki 100%) imara na madhubuti kwa ajili ya utengenezaji wa samani za bustanini, ujenzi wa campsite, uzio wa makazi na bustani n.k
Mbao na Nguzo hizi za plastiki haziozi, haziliwi na wadudu, ni imara, zinadumu muda mrefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.