katika hali ya kutoeleweka hapa mkoa wa Geita cuf imeweka mapingamizi ya kwa wagombea wa Chadema mtaa wa lwenge na Mission katika serikali za mitaa.
My take.
Hivi Ukawa imekufa!!
Sambaza ujumbe huu kwa watanzania vijana wengi zaidi. Kwamba sio kwamba tunawabagua wazee wetu hapana ila tunawashukuru sana kwa utumishi wao uliotukuka kwetu. Kwa unyenyekevu na mapenzi ya dhati kabisa tunaomba sasa tuwapokee kijiti nao wale matunda yetu sisi watoto wa damu zao.
Ni aibu...
ujumbe huu kwa watanzania vijana wengi zaidi. Kwamba sio kwamba tunawabagua wazee wetu hapana ila tunawashukuru sana kwa utumishi wao uliotukuka kwetu. Kwa unyenyekevu na mapenzi ya dhati kabisa tunaomba sasa tuwapokee kijiti nao wale matunda yetu sisi watoto wa damu zao.
Ni aibu kuendelea...
Jana hii Mwigulu akichangia Bungeni.
Mwigulu Nchemba: Ukububwa wa jambo
tunaongelea maadili na maslahi ya watanzania,
nitajikita eneo linalogusa wizara ya fedha.
Nazipongeza taasisi zote zilizoshiriki kwenye
ripoti hii(anazitaja). Tangu utaratibu huu uanze,
chimbuko la ripoti hii ni...
katika hali isiyokuwa ya kawaida Mh.Zitto amempongeza sana Mwigulu Nchemba na kwenda mbali zaidi kwamba Mwigulu ni jasiri na ni kijana ambaye amechoka na huu upuuzi unaoendesha na serikali ya ccm.
Sasa ni dhahiri kuwa Mwigulu Nchemba ndiye anayeenda kukiwakilisha chama chetu cha mapinduzi-CCM katika uchaguzi mkuu mwakani kwa nafasi ya Urais japo kuna tetesi kutoka kwa maadui kuhusu Escrow naomba kuweka sawa kuwa, Wizi wa Pesa za EPA BOT zilifanyika 2004 Mwigulu akiwa chuo pale UDSM...
Katika Gazeti la Mwananchi la leo Jumapili
23.11.2014
Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba
katika maoni yake kama kiongozi wa Nchi na
mmoja wa Vijana shupavu Nchini wasio na
chembe ya Kashfa yoyote katika Nchi hii kama
historia yake inavyojieleza kuwa ni Mtoto wa 10
katika Familia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.