Alifanya siri kwa kuwa alijua wewe ni mwanaume wa namna gani. Huwezi ukamchukia/kutokupenda mwanamke kisa kazaa nje,kwani we ndio unalea mtoto?Au huyo mtoto anakula gunia zima kwa siku? We ungempenda mke wako na kumpatia mtoto mahitaji,unless huna uwezo wa kuhudumia familia(na hilo ni tatizo...
zamani wakati nakuwa nilipapenda sana arusha,baada ya kutembea Mbeya vijijini hasa umalila napapenda sana na ni pazuri kwa kuishi.
kwanza altitude 2300m,pili kilimo cha matunda vinakubali sana na tatu watu wake ni wakarimu.
Mimi nimetokea kanda maalumu.
Kumbe wengine mnafanyaga makusudi enhee!
wangu alikuwa anataka nikitoka kibaruani kabla sijaoga nivue shati nikae pembeni yake.
alikuwa anapenda harufu ya jasho langu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.