Waunguja asilia sio wabaguzi hao wapemba ndio nuksi kwa ubaguzi!akiwa znz basi bara ataiita Tanganyika ila akifika ferry tu anaiita TZ kujipa umuhimu stahiki zote za bara zinamhusu!
Tmk ilijiwahi kipindi cha jiwe,kama utakumbuka siku anazindua magu bus terminal aliongelea ujenzi wa barabara za wilaya ya ubungo na majimbo yake ubungo na kibamba,baada ya pale akuonekana tena hadharani hadi umauti wake,hawa waliokuwepo sasa hivi hawana time na maendeleo ya wananchi
Bajeti iliyojenga barabara ya kwa msuguli -malamba mawili ndio hiyo hiyo ilikua ifike mpaka kwembe,king'azi,kifuru hadi kisarawe,ila jiwe alipokufa tu ile bajeti na yenyewe ikaenda mifukoni mwa wajanja,jiwe alikua mtu sana sema vzr avidumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.