Ni mashine aina ya Boss!!
Ina hitirafu kwenye Pump( valve zimeungua na zinapatikana kariakoo)
Nakupa na vifaa vyote
Bei 350,000/=
Mazungumzo yapo!!
Sababu ya kuuza!!
Kijiwe kimekufa na sina mpango wa kuanzisha kijiwe kingine!!!...,
Napatikana Mburahati kigogo!!
Mawasiliano 0653 722605
Ipo maeneo ya luhanga mkabala na shule ya kawawa.....
Eneo lifaa kwa ujenzi wa guest house, bar ,lodge au nyumba kubwa zaidi ya kupangisha!!!!!
Ni nyumba yenye eneo kubwa!!!! Na gari linafika mpaka mlangoni.....
Bei ni mill 75
Maongezi yapo.....
Namba ya simu....0717 767875
Kama inavyojieleza hapo juu....
Nyumba ipo maeneo ya kariakoo mtaa wa magila karibu Emelly hotel....
Inafaa kwa ujenzi wa hotel na fremu za maduka!!!
Bei ni 1.1b mazungumzo yapo!!!!
Namba ya simu....0717 76 78 75
Kuna kiwanja maeneo ya kariakoo
Mtaa Magila nyumba namba 13.....karibu na mtaa msimbazi.....
Bei
1.2b maongezi yapo.....
Karibuni sana....
Piga namba
Hii kwa maelezo zaidi.....
0717767875.....
Wewe mleta mada ndio uliyeleta hili andiko kisiasa
Nje ya siasa wanasiasa ni binaadamu kama mimi na wewe na wanatenda kama yale unayotenda mimi na wewe........
Kwanini jambo baya akilitenda mwanasiasa kwa ubinaadamu inatumika siasa kumlinda sana mwanasiasa huyo......!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.