Wakati wanaweka vikwazo, matumaini yao yalikuwa kufanya maisha Russia yawe magumu sana, Putin achukiwe na wananchi wake, mwisho uasi utakaomwondoa madarakani.
Kilichotokea na kinachoendelea kutokea kimekuwa tofauti, waweka vikwazo hawaamini.
Biblia unayotuhimiza kuisoma imeandika katika Luka 23:43 kuwa, Yesu alimwambia mmoja wa wale waliosulubiwa pamoja naye, "amini nakuambia, leo hii utakuwa pamoja nami peponi".
Unatuhimiza tusome biblia ipi tofauti na hii yenye maandiko haya!
Labda jiwe aliangalia watangulizi wake walifanyaje.
Mwinyi kamteua Kiaro kuwa mkuu wa majeshi akiwa na miaka 65. Alihudumu kwenye cheo hicho hadi 1994 alipostaafu akiwa na miaka 71.
Mtangulizi wa Kiaro, Msuguri alistaafu akiwa na miaka 68.
Juzi hapa tumeambiwa kuna mtambo umewashwa JNHP, hivyo hakutakuwa na mgao wa umeme tena. Nikawaza, kumbe bila Magufuli kujenga lile bwawa tungedumu kwenye mgao daima!
RIP nabii Magufuli.
Putin anastahili kuungwa mkono na kila mtu mwenye akili timamu toka nchi zetu hizi maskini.
Marekani na nchi za ulaya magharibi wamekuwa wakiweka tawala zinazosimamiwa na vibaraka wao katika nchi za Afrika na Latin America kwa kisingizio cha demokrasia, jukumu la vibaraka hawa ni kuzifukarisha...
‘Your vampire ball is over’ – Putin to Western elites
The era of Western elites being able to exploit other nations and other peoples across the world is coming to an end, Russian President Vladimir Putin said in an exclusive interview published by Rossiya 1 and RIA Novosti on Wednesday.
The...
Hawa wanaojiita wasabato walianza lini na walianzia wapi? Wapentekoste je?
Maandiko yako wazi, hiyo falme ya mwisho inayotajwa kuwa na maguvu ya kisiasa, kiuchumi na kijeshi na kuamua nani auze au anunue ndiye huyo US ambaye kila kukicha tunasikia akiyawekea vikwazo mataifa.
Vatican atapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.