Wameanza kutafuta mchawi. Hayo hapo chini yamesemwa na aliyekuwa spika, Pelosi.
“It’s in Putin’s interest for – what’s his name? – to win. And therefore I see some encouragement on the part of the Russians of some of what is going on,”
Freedom of expression ni haki ya kikatiba. Tunachozungumzia hapa ni serikali kupoka wananchi haki yao ya kuandamana.
Iwe ni serikali ya mtaa au jimbo, hiyo ni irrelevant.
Hakuna mamlaka inayoweza kupoka haki ya kikatiba ya mwananchi. Pelosi kalaani kinachoendelea.
Haiwezi fikisha hata miaka mitano.
Mataifa ya Ulaya yanayoisaidia Ukraine yameathiriwa sana kiuchumi kutokana na vikwazo walivyomwekea Russia.
Vita inavyoendelea ndivyo wananchi walioathiriwa wanaishiwa uvumilivu, baadaye kuipinga vita hii utakuwa mtaji mkubwa kisiasa kwa wanasiasa wa EU...
Kumetokea wimbi la maandamano kwenye vyuo vikuu nchini Marekani kupinga mauaji ya wapalestina yanayoendelea Gaza.
Serikali inatumia askari polisi kuzuia waandamanaji wanaotumia haki yao ya kikatiba kupinga kinachoendelea Gaza.
Serikali hiyohiyo ya Marekani, kwa muda mrefu, imekuwa mfadhili wa...
Ubinafsi ni tatizo la watanzania walio wengi, na hii wengi inaweza kuwa zaidi ya asilimia 90.
Leo ukipewa nafasi ukaitumikia kwa uaminifu pasipo kuiba, jamii inakuona huna akili, hata mkeo anaweza kukuona huna akili.
Wezi ndio wamegeuka mashujaa nchini, wanapewa viti vya mbele hata kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.