habarini za leo wadau. naombeni msaada wenu wadau mnisaidie nifanye setting ya namna gani ilia kuzuia adds zinazojidisplay kwenye cm yangu ya tecno m5. yani ukiiunlock tu adds zinaanza hata nimechoka nayo naambeni msaada wenu kwa anae jua.
yani dijaielewa kabisa. unaweza kuta imejinstall yenyewe kwenye simu kisha inakukomand kufanya settings ambazo zinadisplay kwenye home screenna bila kuzikubali huwezi kuzitoa wala kufanya chochote kwenye hiyo simu. mfn. inakulazimisha kuactivat device administrator. kudiable system lock na...
habari za leo. nina tatizo la mapunye kichwani kwa zaidi ya miaka 7 sasa hayaponi nimetumiadawa za aina mbali mbali lakini wapi. haya mapunye yanakuwa ka mapele ynaiva ukiyatumbua yanatoa usaha kisha damu. na yanakuwa yanawasha sana. msaada wenu nifanyeje wapendwa.
Una mkeo ambapo hamjafanikiwa kupata mtoto kulingana na mipangilio yenu ya kimaisha mliojiwekea. kazi yako ni fundi wa ujenzi ambapo mara nyingi unapata site za mbali na unapoishi kulingana na kazi yako unaenda unakaa huenda kwa siku tatu hadi wiki moja unarudi nyumbani kuingalia familia yako...
katika mahusiano ni lazima itatokea siku mtazungumzia story zenu mbalimbali zilizopita na yawezekana mkaligusia swala kama hilo. je utsema ulishakuwa na wangapi?
Wapendwa habari za leo. natumai kwa mapenzi yake mungu mu wazima wa afya. Nawaulizeni hivi leo hii ikitokea umeulizwa na mkeo/mpenzi wako/mmeo swali hili utajibu wangapi? "HIVI MME/MKE/MPENZI WANGU HUKO NYUMA KABLA YA KUWA NA MIMI ULISHAKUTANA NA WATU WANGAPI KATIKA MAHUSIANO NAO KIMAPENZI?"...
Hongera kamanda kwa kumfamisha ukweli huyo kijana. ukitaka kula nguruwe chagua alie nona. cyo unakuwa na mke kila unaposhika unakutana mifupa yani hata hamu inapotea. kwan yeye hajawahi hata ulizia bei ya steki buchani? hajui kuwa ipo juu kuliko hiyo mifupa yake? kitu ni namba 6 & 8. mwanche...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.