Asante nimefurahi kulitambua hilo kujibu (HAPANA)
ukweli ni kwamba iphone 11 ni advance ya XS Max
na pia umekubali perfomance yake ni kubwa kuliko XS
kipengele kikubwa ni perfomance na ndio maana inapokea matoleo mengi kuliko XS max
kwahiyo itoshe kusema iphone 11 ni kubwa kuliko hiyo...
usiwe na haraka twende taratibu
kwahiyo iphone 11 (Bionic yake unajua ) vp ni sawa na iyo x max ? naomba jibu hapa usipanic
pili juu nimekuliza maswali mawili umejibu 1
naomba ujibu hili ujibu la lile la juu
Habari zenu ndugu
nauza simu yangu iphone 11 eleven
simu ni mpya kabisa nauza pamoja vyote hivo
kwa bei ya laki 8.5
sifa zake
GB 128
bettry 100
face id iko vizuri
simu haimjui fundi
namba za simu 0777100041
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.