hi nilikuwa, naomba mnipatie msaada wa wapi ninaweza kupata huduma za kliniki kwa hapa dar, kwani mie ni mjamzito na huu ni wa kwanza, na sijui ni gynecologist gani ninaweza kwenda na tayari nakaribia miezi minne.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.