Hiyo dunia ya karne iliyopita mkuu. Kwanini aende ofisini wakati unaweza kufanya kila kitu nyumbani kwako kwa kutumia mfumo tu? ukaokoa muda na fedha....Wanatakiwa kubadilika haraka hii kero bado ipo hata sasa hivi ninapoandika huu ujumbe.
Ni vitu via ajabu sana mkuu, kama una 1.3B kwa ajili ya kuwalipa bench la ufundi na Wachezaji kwa kushinda mèchi moja tu. Kwanini usiweke hiyo pesa kwenye Program za kuendeleza Vipaji zaidi vya soka nchini, Ili tuweze kushindana zaidi AFCON ijayo 2027.
Hapana!
Wapewe Posho zao za kutumikia taifa kama wanavyostahili. Hiyo 1.2B ipelekwe kuendeleleza Football Academy zilizopo.
Tuangalie mbele ndugu zangu.
Ukweli ni kwamba "Mbeya Ni KIJIJI"... Hata Manispaa ya Moshi Ina miundombinu na mpangilio bora kuliko Mbeya.
Nathan ina hadhi ya Jiji Kwa kuwaití ina Kipato kikubwa {Regional GDP}. Otherwise, Kuupanga ule mji mpya haiwezekani, Kwanza ni mfinyu sana, umezungukwa na milima, Alaf hapo kati kati ya...
Mkuu, Kama wafanyakazi wake Hawana Output Kwanini asiwasimamishe Kazi? Atafute Wanaoleta Tija kwa taasisi.
Lakini Kitendo cha Kubakia Kazını Bila Kulipwa ujira wao sio sawa.
Sawa mkuu, Alishawahi Kukuhudumia huko hosp kama Daktari? Kamą ni Hivyo basi unaweza ukatoa taarifa kwa mamlaka husika za usimamizi.
Kumbuka Sio Wote wanaofanya Kazi Hospitalini ni Wanataaluma hivyo ya Afya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.