Search results

  1. N

    Nyaraka: Kashfa ya Richmond - Maagizo ya Lowassa na Uamuzi wa Serikali

    Sasa hapo nani mwenye shida? EL anaonekana kuagiza wizara husika zikutane pamoja na BOT na TANESCO. maana yake mamlaka zote zijirizishe na mchakato na kutoa report na mwandishi kwenye para 2 anasema report imepelekwa kwake. wekeni na hiyo report iliyopelekwa kwake kutoka kwenye hizo mamlaka...
  2. N

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    cheap Argument!! Bora angesema chama chake kimemtingisha na akatingishika. Maana kama ni UKAWA nilitegemea aseme Chama chake kimejitoa. Too Personal Lipumba
  3. N

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Matokeo wilayani Butiama kuna yeyote mwenye kujua atujuze?
  4. N

    Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

    "I will not let anyone walk through my mind with their dirty feet." ― Mahatma Gandhi Watu wengi hawataki kujua nini kimetokea na kinaendelea nn? wanabaki kufanya personal attacks ambazo hazisaidii. kwa nini u waatack PAC? why dont you atack CAG and PCCB??. PAC wamefanya kuchambua...
  5. N

    Nyaraka mpya za Kagoda zawalipua Rostam, Manji

    ninachokiona hii movie inaelekea pazuri!! mungu wetu tenda miujiza watanzania tupate haki yetu waliotupora na wanayoendelea kupora
  6. N

    Yah: Kuunga mkono CHADEMA kwa sasa

    Hapo mkandara i agree with you, huwezi kutekeleza mambo ya kwako binafsi kwa niaba ya taifa lazima yawe documented ili yeyote atakaepewa madaraka aweze kutekeleza na wananchi wampime ya aliyoyaeleza. CHADEMA wameeleza kila kitu kwenye Katiba, ilani ya uchaguzi na sera zao pia. kama kama...
  7. N

    Ni lazima tugawanyike; Lazima tusiwe na umoja! -Yes I said it

    yes kugawanyika si kupigana 100% correct. hata familia moja wana mitizamo tofauti na maono tofauti pia. ili kuleta changamoto lazima tugawanyike kwa hoja pia kwa matendo, hii itapelekea msukumo wa kiutendaji kwa serikali regardless nani yuko madarakani kwani atajua asipofanya vizuri lazima...
  8. N

    Tamko la Wapiganaji CCM Feb 10, 2010

    “If fighting is sure to result in victory, then you must fight, even though the ruler forbid it; if fighting will not result in victory, then you must not fight, even at the ruler's bidding.”
  9. N

    Kikao cha NEC Zanzibar: Karume hataki kuongezewa muda!

    tunazisubiria mkuu wa sauti ya umeme
  10. N

    Kikao cha NEC Zanzibar: Karume hataki kuongezewa muda!

    jamani kwa yeyote alie na dodoso za huko znz atuhabarishe.
  11. N

    BOT yamwaga mikopo ya mamilioni kwa wafanyakazi wake-Ndio bailout ya serikali hiyo!!

    hapa nimejaribu kuangalia ni jinsi gani baadhi ya watu humu wana upeo mdogo kifikra. hivi ni makampuni mangapi yanakopesha wafanyakazi wake? na huwakopesha kiasi gani? hurudisha mkopo kwa muda gani? je tumelinganisha na nani?, CRDB, NBC, NSSF, PPF, STANBIC, BARCLAYS, STANCHART, AKIBA ZAIN...
  12. N

    Unleashed: Vol-1 - P-X:2010 - "Fikra mbadala"

    much respect mwanakijiji
  13. N

    Andrew Chenge: Jersey bank account in spotlight

    Politicians are the same all over. They promise to build a bridge even where they is no river.
  14. N

    TANESCO yatangaza mgawo wa umeme

    As usual ''management by crisis''
  15. N

    Padri Karugendo: Spika huyu si bora kwa Bunge la Wananchi!

    ''thinking outside the box'' kuwa padre haimanishi kutoyaona yanayoendelea nchini mwako.
  16. N

    Matokeo Biharamulo: Chadema yaongoza Mijini, CCM vijijini!

    Mmmhh!!! Tanzania zaidi ya uijuavyo.
  17. N

    Matokeo Biharamulo: Chadema yaongoza Mijini, CCM vijijini!

    ni saa tatu na nusu usiku jamani hakijaeleweka tu?
  18. N

    Wilaya za Tarime na Rorya hatarini kupelekewa utawala wa kijeshi

    yes twaweza peleka majeshi yetu as part of management by crisis BUT will it be a permanent solution?
  19. N

    Wilaya za Tarime na Rorya hatarini kupelekewa utawala wa kijeshi

    tunachosahau ni kwamba vita kama hivi havitaisha kwa kuhubiri majukwaani wala kuwapa baadhi ya watu deadlines. pia tabia ya tulio wengi kuangalia jambo kwa upeo wa juujuu na outcomes kama hizi za vita. kila litokealo lina chanzo chake na kwa mtazamo wetu inaweza tuchukua hata miaka mia bila...
Back
Top Bottom