Umeenda semina Dodoma, una ndugu yako kule. Unamtaarifu unakuja kumtembelea. Anakuambia karibu sana. Anakuelekeza panda daladala za Chamwino shukia St.Gaspar. Unashuka stendi unamkuta ndugu yako na mkewe na watoto stendi wamekuja kukupokea! Mnatembea kitambo na kufika kwake. Watoto waliobaki...
Canter ina uzwa bei 23 mil
From Japan
Ya mwaka 2002
Imekuja Tanzania 2014
IPO order haina tatzo lolote muuzaji ndio anamatatizo kiuchumi(haikuhusu).Sio yangu ila nimemsaidia kupost ndugu yangu.0718776676 Dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana JF?
Bila shaka wazima.
Kijana wenu/mwenzenu nina tatizo moja sielewi nini cha kufanya
Nilikuwa na mpenzi wangu mmoja tulipendana sana na bado nampenda sana na yeye namsifu anajua kuhandle penzi japo mapenzi yetu yameyumba kidogo kwa sasa.
Matatizo kwa kipindi chote nilichokuwa...
Habari wana JF ?
Primeprintsystems & general services .
Located : Kariakoo
Tunadeal na desgning & printing (promotional materials (brochures,Identity card,business card,fliers,posters)
large format,car branding ,t-shirt & caps ,books etc for more info njoo pm
we print what you need
Nauza simu tajwa hapo juu price 160000 /= maongez yapo ipo katika hali nzuri Ila inatumia pain ya tigo guy(haijaflashiwa) 0718776676 text/WhatsApp/viber.
Mtu na Mkewe walikuwa
bado wamelala asubuh,m2
akabisha hod mke akaenda kufungua mlango na
kukuta kumbe alikuwa n mchepuko wake.
Mke:unataka nn We Mpumbav?
Mume:nan Hyo Unam2kan
Mke;kuna mtu anakichwa km nenda urudi baadae..
Mchepuko;na Ww Pua Km Poa!
Mke;miguu km maxaa2 urud.
Mchepuko;maskio km...
Conversation between satan and God
Satan: Hahahaha
God: why are you laughing
satan: am not laughing
God: then what are u doing?
satan: am smiling
God: why smiling
Satan: You said this is your child?
GOD: Which one?
Satan: The one reading this
GOD: Ofcourse this is my child
Satan: Haha since...
Suala la kuwa na mpenzi waweza amua muda wowote ule utakao lakini suala la ni nani atakaa na wewe daima ni suala la wawili kushirikishana na kukubaliana. Kama mlikutana bar, club au sehemu yoyote ile ya starehe na huyo mpenzi wako kamwe usiamini kuwa ukiingia kwenye mahusiano na hasa mahusiano...
Nchi gani inaongoza kwa kuwa na mabinti
wazuri??
1. Ghana
2. Nigeria
3. South Africa
4. Kenya
5. Zimbabwe
6. Côte d'Ivoire
7. Liberia
8. Tanzania
9. Sierra Leone
10. Andika nyingine.....nataka nikaoe
karbun kwa majbu ya aina yoyote
Tanzania Ni Kweli Nchi Ya Amani LAKINI Cha
Kushangaza Amani Iyo Ipo Kwa Viongozi Wake
Na Wala Sio Wananchi Wake Sa Kuna Haja Gani
Ya Wewe Kujisifia Upo Kwenye Nchi Ya Amani
Akati Kula Yako Yenyewe Haieleweki.
Aya Aya Aya Abiria Wangu Pandeni Gari
Linaenda Tegeta Escrow Nauli Ni Tsh.Bil.306...
Msaada pls kuna website nimejiunga wanataka nivalidate account kwa kuwatumia passport/driving licence or national ID pamoja na utility bill.
Nimetuma scanned document driving license na karatasi niliyonunulia umeme Siku kadhaa zilizopita salsa wamenambia ac Yang bado ni unverified means...
Habari Jamiiforums,
Natamani kujiingiza mzimamzima kwenye hii issue ya share(hisa). Naomba ushauri wenu kwa wajuzi wa mambo me nataka base sana online shares.
Hivi ni website / mtandao upi ni mzuri kwenye hii biashara? Binafsi katika pitapita zangu nimekutana na hawa jamaa WWW.24option.com...
guyyzz ..! msaada wenu plz
nikitakata kuwa vizuri ktk maswala ya kuflash na ku unlock simu modem n.k nini nifanye (na software gan nzuri ?)
au computer iwe na spesifiation zpi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.