Kipundi kile akiwa waziri mkuu alikuwa anapokea taarifa hata juu ya mti.....
Tumpe kura nyingiiiii aendeeeleee kulitumikia taifa la tz na wananchi wake.
Wanasiasa waliingilia mchakato ili kufanikisha kupata KURA nyingi hasa CCM. Umeme wa gesi bado sana labda mwakani.
Mradi wa mabasi yasiokuwa na foleni .... tumeyaona yameshushwa bandarini , nadhani wanasubiri mzee wa kaya JK, na waziri Magufuli kuzindua kuelekea siku za mwisho uchaguzi ili...
Mi nimeuchoka huo mfano wa LIBYA .
Anautumia kuweka hofu mwenye mioyo ya watz.
Walibya walichukua silaha kumtoa ghadafi wakisaidiwa na mataifa ya magharibi.
Ss watz tunachukua vikatio vyetu KADI ZA KUPIGIA KURA kuleta mabadiliko.
Hata mie nimekuwa najiuliza swali hilo , hotuba zake zote ni barabara
Swala jingine kaishiwa cha kuongea
Jana nikamskia akitumia motto wa chadema peoples power
Hana jipya
Uzi wako unaongelea hongo(rushwa) hapo hapo umejisahihisha mwenyewe kwa kueleza matumizi ya pesa hizo, kuandaa mkutano, muziki, posho.
Hakuna cha bure pesa inatumika kufanikisha mikutano kwenye vyama vyote kama walivyofanya ccm jagwani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.