Habari zenu wana jamvi,
Kwa wale mafundi TV nauza TV (screpa) imeharibika kioo ila vifaa vingine vipo ok.
TV yenyewe ni LG,PLATT ,PLASM.INCHI 42
Kwa mafundi TV anayehitaji ani pm
ASANTENI
Habari zenu wana jamvi kwa wale mafundi TV, Nauza TV (Screpa) imeharibika kioo ila vifaa vingine vipo ok. Kwa mafundi TV anayehitaji ani PM.
TV yenyewe ni LG, PLATT, PLASM, INCHI 42..
Ahsanteni!
Habari, naitwa Mr. Raymond from TRANSNET LTD Dar, tupo kikaoni tunapitia CV tuchague candidates wa kuinterview for PUBLIC RELATIONS OFFICER POST, CV yako ni nzuri nataka kukusaidia upate hii kazi kwa terms zifuatazo, salary ni tshs 1,200,000/= kwa mwezi ukilipwa salary ya kwanza utanipa laki 3...
Ipo sinza afrikasana ipo karibu kabisa na barabarani ina vyumba viwili vya kulala sitting foom choo na joko,ipo ndani ya geti na ina parking kosi ni shs 280000 kwa mwezi nataka napokea kodi ya miezi nane.kwa anayehitaji anipigie 0714438523
Inchi 42 shs 880,0000 nimeitumia mwezi mmoja tu ina port zote muhimu kasoro usb.unaeza iweka ukutani au mezani.ni ya mtumba kutoka zanzibar.na nyingine nyingi zunapatikana kwa atakayehitaji ani pm
Habari wana jf,natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala ,sittingroom,choo na jiko bajeti yangu ni 250000 tu.kwa anayefahamu zilipo naomba anijulishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.