Search results

  1. N

    Tuition fees UDOM

    hata ukichelewa utasajiliwa tu bt bila kulipa nusu ya kiasi unachodaiwa sahau kusajiliwa aise
  2. N

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    yes hostrl utakaa kwa miaka yote mitatu na kuhusu mikopo haicheleshwi in case kuwe na dharura
  3. N

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    ingia www.udom.com utaona kama joining instruction zishatolewa utadownload hapo!!! karibu udom
  4. N

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    kwa wale walofanikiwa kujiunga na chuo kikuu cha dodoma (udom) especially college of education kama una swali tupia hapa tukusaidie wenyeji wa ng'ox tupo guyz
  5. N

    Mwenyeji wangu- UDOM

    usidanganye umma kwa kitu usicho kifaham college of education jeans zinapigwa kama kawaida!!!
  6. N

    Mkopo kwa non -priority programes

    uwezekano wa kupata mkopo upo although ni kwa asilimia chache yan YES na NO lolote linaweza kukuhusu! bt mwombe mungu atakusaidia na utapata mkopo
  7. N

    Hatua na taratibu za kuhama chuo au kozi

    mkopo pia una pelekwa chuo utakacho hamia although mara nyingi huwa kuna usumbufu kama wa kucheleweshewa pesa yako lkn ni lazima utapata
  8. N

    Swali kuhusu second around application

    ukifanya second round applicatio automatically hiyo ndo course utakayo isoma thats why unapewa nafasi moja tu! na mfumo unaotumika ni kila nafasi inavyoombwa na mwombaji akafanikiwa basi slots zilizokuwepo zinapunguzwa pale pale kama zilikuwa 100 basi zitabaki 99 kwa kigezo kwamba soon zile...
  9. N

    Kama ntaweza kupata chuo na hizi marks zangu

    acha kujurupuka kijana D ni princpal ambayo ni sawa na E kwa miaka ya nyuma!
  10. N

    Ukweli kuhusu points za kuingia chuo 2014/2015 ni huu hapa

    kwa matokea ya sasa mtu mwenye ufaulu wa DDF anauwezo wa kupata chuo kwa sababu hapo tunapata point 2 ambapo hicho ndo kigezo cha chini kabisa kupata chuo according to Tcu guidebook
  11. N

    Naweza kupata engineer kwa matokeo aya. D ya physc. D ya math na E ya chem

    prncpal ni D kwa matokeo ya mwaka huu acha kubuni mambo@shardcole
  12. N

    Ushauri kwa waliopata alama za chini

    mbona tcu guide book kimeshaeleza hayo yote tatizo nyinyi vijana wavivu kutembelea mitandao muhimu juhudi zenu mmezipeleka facebook, twitter,na whatsp
  13. N

    Huyu dogo anaomba ushauri hizi max atapata mkopo?

    kwa mujibu wa tcu guide book kinasema kwa mtu aliyesoma combinations za art ili apate mkopo lazima awe na point 4 and above kwa hayo matokeo point nne zinafika cha msingi kumwomba mungu amsaidie apate kwasababu vigezo anavyo!
  14. N

    HESLB vs udoso (udom)

    hii ndo Tanzania bhana!
  15. N

    Vyuo vya Uandishi wa Habari - DSM

    Dsj funga kazi bro ma presenter wengi bongo wanatokea pale bt maamuz ni kwako bto!
Back
Top Bottom