Jamani nilivosoma nikajua uongo but kwa kushuhudia kwa macho na masikio
Yaani nimeogopa na kuumia roho kweli hii ndo Tanzaia ni Mbunge eti ana jimbo?
Anongea kudaadeki sijui ujinga gani guys hivi hakuna sheria inayombana huyu?
Jamani huyu mfanyabiashara aliendikwa hapo juu ni marehemu toka 2002, soma zaidi hapa: Dhirubhai Ambani Biography - Dhiru Bhai Ambani Indian Entrepreneur - Dhirubhai Ambani Indian Industrialist
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.