kuna mbunge amemkosoa mwigulu kuhusu nukuu yake kwenye kitabu cha kambi ya upinzani, kuwa walimu wote wa primary wanafanya biashara mashuleni badala ya kufundisha ,mmbunge wa upinzani amemkosoa akamwmabia arudi shule tena darasa la kwanza , mnyika kamtoa nishai na kufuta kauli yake
Mbowe kasema wabunge waheshimiane na hasa wa gamba maana badala ya kuchangia hotuba ya bajeti wao wanatoa kashfa na kejeli na wabunge wa upinzani na wakijibiwa waupinzani wanaonekana hawana nidhamu, nidhamu ipo kwa aliyetoa kashfa na kejeli. Amemtaka spika hata adhabu ikitolewa isiangalie...
Nimefurahi sana Halima Mdee yeye kafunga kabisa kamwambia ngeleja tatizo unatoroka bungeni sana na ndio maana hujui kitu tumeshamaliza hayo siku nyingi tatizo lako ni HASIRA ZA KUTOLEWA UWAZIRI
yaani sijui hata niseme nini, kuna watoto hawjui shule ni nini? kuna watanzania hawajua kesho itakuaje, wajawazito na watoto wanapoteza maisha kila siku kisa dawa na matibabu finyu yaani ni mengi mengi sana, sasa unaposikia upuuzi unaoteka hapo PPF natamani sijui hata mmmmmmmh, kuna haya ya...
hivi hujui jeshini ufisadi ndio kwao, hayajaanikwa tu hayo ya dowans madogo ndugu
sasa waachie tu muwatoe madarakani ili mfukunyue ya kwao mmmmh ngumu sana
Anahisi wapinzani wanataka kumchezea, hisia tope hizo. Na yeye anataka kwenda na kiwango cha aliyepita dooo itakua ngumu sana
ajui amewekwa na mafisadi na mwisho anataka kuwanyamazisha wapinzani mapema mmmmh sijui kama atafanikiwa.
ka 4wheel kanapatikan ila suzuki model ya zamani naana ya 1996 mpaka 98 kwa kuagiza iatakutafuna kidogo kwa sababu in kodi zaidi ya 4 hiyo new model yake yaani ya 2001 imekomaa bei kidogo bajeti yako pungufu mkuu. mi nakushauri ingawa umesema hupendi garizinazofana na taxi nunua toyota corrola x...
huu mdahalo mimi nimeufatilia toka mwanzo mpka mwisho tuweweke ushabiki mbali kabisa kumsimamisha mbowe katika mdahalo ule ilikua haifi kabisa kwa sababu zifuatazo moja mbowe miaka mitano iliyoisha hakuwepo bungeni na maswali mengi yaliyoulzwa pale yalikua yanahusu ushiriki wa upinzani bungeni...
kama unaishi naye nini unataka zaidi kila siku tuuuuu unajua kama hilo moja ni la ufundi linatosha sana tu kama ni la dk 5 jitahidi kumuhamsha hisia tatizo lenu mnakaaa kama magogo tu zidisha mautundu sana dada, ila mshindo wa tatu ni karaaa na wala usiupende ni kuchoshana sana tu ok
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.