wadau nina shida ya kupata chapisho la sheria ya gharama za uchaguzi kwa kiswahili,nasikia wabunge walipewa kama kuna mdau anayo atundike hapa au anielekeze wapi pa kupata ili tuwasaidie watz wa vijijini
tatizo la 50% 50% ni vigogo kuweka wake zao ,na nyumba ndogo ,binti zao nk yaani ni vurugu tupu......uisadi mwingine.....tuchaguane tuache kuiga yasiyiotufaa
wADAU habari nilizozipata kutoka geita katika jimbo la busanda polisi wamemkamata mwenyekiti wa kata ya lwamgasa - CHADEMA kwa madai ambayo hayajaeleweka,baada ya mwenyekiti huyo kuandaa mkutano wa operashen sangara. HII HABARI YA POLISI KUONEA WAPINZANI ITAISHA LINI??
dr slaa au zitto...
nimekubali changamoto hiyo, mambomengi watz tunaiga kama hatuna akiri hasa ukianza na viongozi wetu wameshashindwa kufanya ubunifu kwa kutumia asili yetu hasa makabila yetu yapatayo 120 tumeshindwa kubuni vazi la spika ,wanasheria,nk ina maana hapo kale hakukuwa na mabaraza ???????
hatuna...
viva dk slaa,tuwasihi wananchi wa karatu waturudishie huyu mtu mwezi oct. aendelee kututumikia wtz.kwakweli tunahitaji watetezi kama hao sio maboya ya ccm kazi kuzinzia yakiamka usingizini ni kukgonga meza kama wehu
tchao
acheni hayo majungu yasiyo na mbele wala nyuma,,,,,what,s simba anyway....mbona hukuchambua tbc1 na ch10......kumbuka itv ni umbeatable,ukienda kule vijijini mpaka seti ya tv huwa inaitwa itv
tchao
AHSANTE DK. willy,tungekuwa na watu hata watano wa aina yako ambao wanapenda kuisadia nchiii hii kama wewe tusingelia na umasikini kihivyo.
mungu akubariki,na akulinde dhidi ya njama za mafisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.