wADAU habari nilizozipata kutoka geita katika jimbo la busanda polisi wamemkamata mwenyekiti wa kata ya lwamgasa - CHADEMA kwa madai ambayo hayajaeleweka,baada ya mwenyekiti huyo kuandaa mkutano wa operashen sangara. HII HABARI YA POLISI KUONEA WAPINZANI ITAISHA LINI??
dr slaa au zitto mnasemaje kuhusu hii hai???:eyeroll2::smile-big:
dr slaa au zitto mnasemaje kuhusu hii hai???:eyeroll2::smile-big: