Nyie hamjamjua Faiza, yeye kwenye issue za msingi ka hizi analeta na udini. Hapo ni kisa huyo jamaa wa OILCOM ni mwislam. Sasa yeye anaona kama mna attack waislam. Angalia hata anavyomtetea JK unaona kabisa mwelekeo wake ni wa kidini, wakati wenzie tuko kwenye mtazamo mwingine kabisa wa jinsi...
Ningekuwa mmoja wa strategists wa ccm, ningewashauri angalau hizo hela wangempa Klyn aliezaa na mtu ka Mengi. Angalau huyo ana influence. Lakini sio aunt Ezekiel ambaye anazaa na mastejishoo ya diamond. Kweli mzaa na mastejishoo ndio atuinfluence wabongo. CCM hakuna strategists. Naamini sasa...
lengo la kila chama ni kukamata dola, hilo ndiyo lengo kuu. kwahiyo hawawezi kuwa na permanent enemies hawa cdm bali ni permanent interests. kwenye hili ni muhimu watumie popularity ya eddo. hata kama watakosa urais. itawafaidisha sanaaa kwenye ubunge. naiona tanzania yenye wabunge...
lengo la kila chama ni kukamata dola, hilo ndiyo lengo kuu. kwahiyo hawawezi kuwa na permanent enemies hawa cdm bali ni permanent interests. kwenye hili ni muhimu watumie popularity ya eddo. hata kama watakosa urais. itawafaidisha sanaaa kwenye ubunge. naiona tanzania yenye wabunge...
Adam Kuambiana ni kweli amefariki. Lakini sio ajali ya gari. Amekutwa ameanguka hotelini maeneo ya sinza. Inasemekana alikuwa anaumwa. Sasa sijui alijidunga na matungi wakati ana madozi au labda he was druged. Lkn alipowahishwa kwa mama Ngoma alikutwa ameshafariki.
Sent from my BlackBerry 9800...
Zanzibar wasahau. Maana serikali sikivu ya CCM imeamua kutoipa Zenji mamlaka kamili..:shocked:..
JK ana support ya nchi za magharibi. Hao Zenji tukiwaacha tu magaidi wanaojitangaza kwa kutumia uislam wataingia na kuanza mambo zao za kujilipua. Hatuwezi kubali. Kwahiyo Zanzibar wapende wasipende...
Kuna mzungu mmoja ambae alikuwa director of finance NBC..a south African Boer ..ndiye alikuwa akiingilia mipango yao mingi sana ya ubadhirifu..wao wakina mafuru na maharage chande wakamwekea fitina akafukuzwa..sasa inasemekana mzungu huyo aliporudi ABSA akatoa ripoti ya jinsi mafuru na maharage...
Mafuru amefanya ubadhirifu sana hapa NBC yeye pamoja na Maharage Chande..mwenzake Maharage Chande nae alisimamishwa na akaandika barua aache kazi BOARD imetupilia mbali maombi hayo na badala yake nae anasubiria uchunguzi huo..Mafuru ameleta vihiyo kibao ambao ni washkj zake na ametoa mikopo...
eti nape inasemekana kuwa baba yako ni mark mwandosya na sio marehemu brg. Nnauye. Embu tufahamishe. Inasemekana hata marehemu mwenyewe nnauye alijua kabisa kuwa wewe sio mwanae bali ni wa prof mark mwandosya..
vingreza vya yule shafii dauda ni aibu tupu..anajitahidi kuwa anaelewa issues nyingi za sports..japo anazitoa The Sun | The Best for News, Sport, Showbiz, Celebrities | The Sun maana nikimsikia huwa sioni tofauti na nilichokisoma..
akajipige msasa lugha ya watu au aongee kiswahili tu..maana...
waliohamishwa ni ma-directors wa 3 ( dr matheo raphael, dr rose kingamkono na mr eliab chijoriga) wengine ni scientific staff...nao ni dr makene, lambo mayenga (chief accountant), elikira mathew(mhasibu), wengine nao scientific staff ni charles yongolo, enock mpenzwa, jonas kamaleki, PC chuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.