Habari za Leo wakuu..
Naomba kwa anayefahamu Tani 1 ya parachichi(Hass) ni shilingi ngapi?
Naomba Bei ya shamba na Bei ya kutoka shamba mpaka Dar.
Shukran
Msaada kwenye tuta...
Nimekua naitwa sana kwenye interview na hii kampuni Afaq Group..
Nimeitwa kama mara 4 Hivi.. niliwekaga details zangu linked in..Sasa naitwa Kila siku ila ndo hivyo sipo huko.. deadline inapita...
Sasa Nina maswali najiuliza....nijilipue niende tuu?? Je nikikosa kazi...
Dr Matola PhD Bufa Invigilator na wengineo, naombeni mawazo yenu...
Nataka kuomba visa ya kwenda kutembea Marekani, je ni nn natakiwa niwe navyo? Barua ya mwaliko inatakiwa iandikwe nini na nn?
NB: aliyenialika atasimamia show nzima Kila kitu,...so Nini anatakiwa kuambatanisha hapo kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.