Hiyo. Kesi imeisha juzi na hukumu imeshatolewa.http://www.thelondoneveningpost.com/mengi-to-pay-billions-after-losing-case-against-the-middletons/Ripoti na hukumu ipo kwenye magazeti zote za uingereza.No coverage in Tanzanian papers or media.
Moro Utd hao jamaa Noma sana...Waliweka ngumu duru la kwanza, wakawakosakosa simba na leo wameweka ngumu. Ubingwa waelekea kuwa Wauza Ice-cream mwaka huu naona.
Mfumo nzima ni mbovu kabisa.kocha na wachezaji wabebeshwe lawama. Yaani ile mechi ya jana tumeshindwa kushinda.
Babu Poulsen hana uwezo wa kufundisha national team. TFF kina Tenga hawajali national team wanaangalia vitambi vyao tuu.
Kinachotakiwa sasa ni kufungisha virago Poulsen, Team apewe...
Ndio nchi yetu ilivyobakia.hawa mapolisi wetu hawana elimu,wanaona kupiga marungu na kutunyanyasa ndio faragha.rushwa wanakula in the open daylight.I hate them.ipo siku kibao kitawageukia na siye wananchi kutawatwanga mambwa hao..
ahh mpira Simba ilikuwa washinde leo..Timu nzuri ila kocha hana jipya..Nimesikia kuna mpango wa kukatisha contract yake na akarudi mserbia Milovan ambae alikuwa anichezesha simba toal football..watch this space
Okwi kaenda uganda na owina yupo dar.witw wanayo mkataba mpaka 2012 kwa hiyo kanda mbili hawana ubavu kuvunja mkataba na nilikuwa na kassim dewji juzi na kama kuuza wachezaji tutawauza ulaya na siyo tanzania.ila okwi hatujui mambo yako aje maana simu yake haipatikani lakini wanajamii hao...
Inshallah mungu atatusaidia.nimewasili harare leo na timu iko ktk hali nzuri pamoja na wenyeji kutufanyia njama mambo ni safi.kassim na mulamu wanahakikisha kila kitu ipo as plan.mtandao iko sllow lakini tutajaribu kuweka matokeo humu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.