Habari Wakuu,
Nimevutiwa sana na hizi gari za Peugeot, naomba kupata taarifa kadhaa kuhusiana na hizi gari ikiwemo uimara wake na upatikanaji wa vipuri (spare parts) zake kwa hapa Tanzania.
Habari wa kuu,
Kwa wenye weledi na Maswala ya Sheria na Matibabu hapa kwetu Tanzania , Je mgonjwa anaweza kumshitaki Daktari / Muuguzi / Hospitali endapo atapata madhara yaliyo sababishwa na uzembe wa Daktari / Muuguzi / Hospitali? .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.