Huyo anaye mchafua Mhe, Zambi ni Huyo anaye jifanya kamkaba koo kumbe anajitekenya mwenyewe. Zambi ubunge atashinda na ndio maana Mtela aliamua kujisalimisha. Huyo Mwenisongole ndio anaye hangaika na makundi ya Urais leo kwa Lowasa kesho kwa Pinda mara kwa Wasira. Mwenisongole ni Sheeeeedah...
Inasemekana wapo wanapanga maandamano yaliyo tangazwa na Mbowe siku ya Birthday yake. Vijana wengi tunao hapa tunawachora wanasema waandamane kwanza wao na familia zao ndipo wao watawaunga mkono. Wengine wanasema Dkt Slaa apeleke kwanza pesa alizo muahidi mjane wa Mama Mwangosi ndipo aje...
Hadi hivi sasa walio bakia pale Msasani Club wanashindwa tu kuondoka kwasababu wengine hawana nauli. Makonda kawakimbia baada ya kwenda Mwanza kumfuata mhe, Membe. Walio changia semina hiyo ni pamoja na January Makamba 800, 0000 Naibu waziri wa Fedha Zanzibar 500, 000 Mzee Mangula 1, 000, 000...
Yule kijana mchumia tumbo wa CCM aliye shindwa vibaya ha mwana Dada Mboni Mhita amewakusanya vijana wa Lumumba wapo pale Msasani Club kwa madai kuwa wanafanya semina, kinacho endelea pale Makonda anawaita viongozi mbali mbali kwenda kuwezesha semina hiyo mwishoni anawaambia tunaomba chakula kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.