Haya toka umeanza kujifunza neno mbona neno haliko na wewe?? Yaan neno limekukataa. . .
Kwahiyo vitu vizuri vya shetani 🤣
..so dunia inaweza kutoa vitu bora na vizuri kuliko aliyeumba dunia?? 🤣
Spirit ya mafarisayo is real.. that's why alipokufa Lazaro walilia sanaaa..
Ila Yesu alipomfufua...
Sio kweli,
Huruma yake, anakumbusha Wana wa Mungu aliye juu kuwa wawo ni majemedari, wasipigane vita peke yao..
“Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu, naye ataniletea sasa hivi zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika? ”
— Mathayo 26:53 (Biblia Takatifu
Sijawahi kumsikia...
Kuna member hapo juu kaelezea vizuri.. kuna nabii wa Bwana alipewa historia kamili na mmilik wa aliye juu toka anga za mbali kuhusu malaika hawa walioasi..
Search YouTube anaitwa Prophet David Richard angalia shuhuda zake..
pole kwa msongo wa mawazo..
so tar ya kuaga iliyotolewa pia ni magumashi..
nakuelewa hata sisi tuliopata neema ya kuwasiliana muhusika kabla ya umauti wake.
tunataman iwe ndoto..
maana kila mmoja kwa sehemu yake
tunamuhitaji mno.
inatakiwa ufahamu mzee dingi anaishi kwa mchongo, km kwenda kwake anafanya mzunguko kiasi hiko na kubadili dala dala hizo ndio arudi kwake hivi anaweza kuweka hela ac moja kweli??
au unasoma story kutafuta makosa sio kujifunza mkuu,.
wanaoamini ucHawi hawakosekanagi.
kuchinja maana yake kuikabidhi biashara yako kwa miungu (mashetani) rasmi,
watakuendeshaaaaaaaaa
utachinja mpk utatoa damu ya thaMani sio ya kuku tena wala mbuzi
hao wapendwa wako watafikiwa.
si unataka hela!!
utakataaje ukifikiria kurudi kny ukata!
km...
how? wakawarubuni vipi?
kurubuni ni kudanganya, ?
so watapelekewa suluhisho au kitanzi kipya?
hao Yehova ndio wadanganyaji, ?
kwanini mlio safi katoliki na msipeleke msaada huko utume wengine wakawarubuni??
Hakuna mganga wa kweli wala wa uhakika wote ni mawakala wa shetani ambae ni baba wa uongo.
unaingizwa ktk maagano ambayo niwewe ba kizazi chako mtalitumikia..
kifungo cha ukakika hutoki vila neema ya Mungu.
mntafuta wafuasi kwa nguvu kuujaza ufalme wenu. wote uliowakusudia nawatia upofu...
japo commentd yako niya muda
Japo comment yako niya muda mrefu ila nimewiwa nikujibu kwa kifupi.
1. haujui chochote kuhusu ulimwengu wa roho na utendaji kazi wake.
2. unajitoa fahamu , sihusian na mtoa maada ila kuna mengi sana yanaendelea ila wewe una macho ila ni KIPOFU
Mwanaume ataacha baba na mama yake ataungana na mkewe nao watakuwa kitu kimoja...
mwanaume ataungana na mkewe na wazaz wake.. mwanamke haachi wazazi wake.. .
ila wewe mwanaume wako waache huko, uungane na familia ya mkeo nanyi muwe kitu kimoja.. eboh. .
“Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.”
— Warumi 1:28 (Biblia Takatifu)
Yaan fahamu zako zilivyogoma kumtambua haimpunguzii chochote Mungu ktk Milele yake, haupunguzi UTUKUFU WAKE WALA UKUU WAKE...sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.