Jamani wanawake tunajidhalilisha wenyewe, hivi ni nani alitudanganya kuwa tukivaa nguo inayoacha part kubwa ya mwili ndio tunapendeza??
tubadilike jamani,kuna nguo kibao tu ambazo mwanamke akivaa bila kuacha wazi mwili wake anapendeza jamaniiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.