Taifa limeshakubaliana kuwa Lowassa atosha acheni kujadili upuuzi.kwa Kuwa mzee Mkapa hawezi kurudi Ikulu tumeamua kukabidhi ikulu kwa Pacha wake kiutendaji ambae ni Mstahiki Rais wa Tano Ndugu Lowassa.
Ndugu wana JF Utawala wa Awamu ya Nne unakaribia kufikia ukingoni na kama ilivyo kawaida ya awamu zote matukio kadhaa makubwa ya Hujuma hufanyika ili kuficha/kufunika maovu yaliyofanywa ama na watawala wenyewe kama vile Ma Rais au viongozi wengine wakuu au wasaidizi na watumishi wa kawaida wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.