Acheni ujinga nyie mie nipo uwanjani pamepooza sana bora sisi tulikuwa na wasanii wengi wenye mvuto na palipendeza sana leo bored bora nijiondokee zangu
Katika hali ya kushangaza kwenye ziara ya katibu mkuu wa CCM leo hapa Nkungi wilaya mpya Mkalama, mbunge wa jimbo hili Salome Mwambu achafua hali ya hewa baada ya kuzomewa na wananchi na akaanza kusingizia amefanyiziwa na mwenyekiti wa CCM mkoa Mgana Msindai.
Kadri alivyoendelea kuwaelezea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.