Umeongea vizuri, mtoa mada siyo muungwana, amejaa hisia na sidhani kama ameomba
Anasema mkopo unatolewa kupitia portal, sasa waombaji kuitwa kwa ajili ya semina anaona ni mpango wa kuombwa rushwa, utaombaje kupitia portal bila kupewa semina?
Hongera kwa kutoa ushuhuda kuwa hakuna rushwa na...
Jamaa bado anakuhitaji sana ndio maana hajaona muda wote huo.
Ingawa hata wewe ndani ya moyo wako bado ananafasi ndio maana hats avata yako ni turudie
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Ni baba wa watoto wawili, kabla ya kuacha kazi watizame hao watoto na tabua kuwa wanapata chakula kutokana na kibarua ulichonacho.
Kama ulivyoshauriwa hapo juu usithubutu kuacha kazi, bali anza kutafuta kazi nyingine na jitahidi iwe siri kweli hata mkeo hatakiwi kujua kama unatafuta kazi...
Kiongozi katika biashara huwezi kubagua wateja, akija CCM, CHADEMA, ACT, CUF et all amekupa mkwanja unachukua, sidhani kwa mfano dukani utakuwa unabagua wateja huyu ni adui yangu nisimuuzie hiyo siyo biashara
Ikiwa hivi faini n rushwa zitapungua, kwa sasa kila baada ya umbali mfupi kuna geti na kila geti lazima utoe si chini ya 3000 madam tu unafanya biashara ya abilia, hawajali mafuta yamepanda yaani taabu sana
Kwa sasa kufanya biashara ya usafirishaji TZ ni shida sana hasa kwa gari hiace, wanaomba leseni wakidai wanakagua ukimpa tuu kinachofata ni faini bila sababu za msingi, nchi yetu kama tutafika tuendako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.