Search results

  1. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    MWALIMU IDARA YA MSINGi ANATAFUTA MWALIMU WAKUBADILISHANA KITUO CHA KAZI.KUTOKA TANGA JIJI.YEYE YUPO ARUSHA KARATU.KWA MWL AYEPO TANGA JIJI ANI. PM
  2. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwl msingi kutoka wilaya yoyote mkoa Kilimanjaro au ARUSHA njoo Kishapu shinyanga.phone no.0712872378
  3. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwl msingi kutoka shinyanga.Kishapu.anataka kuja moshi au ARUSHA. Wilaya zote.check 0712872378
  4. B

    Uhamisho wa watumishi wa Serikali za Mitaa Juni 2014

    wadau samahani naomba kuuliza huu uhamisho una wahusu mpaka walimu walio tuma maombi TAMISEMI?.au nikwa wafanyakazi wengine serikali za mitaa?asanteni
  5. B

    Mzumbe university vyeti vyetu viko wapi?

    imenilazimu nichangie tuu kwasababu umetaka tuchangie.mm nasikitika kuona eti muhitimu wa chuo kikuu anakuja kudai cheti huku jf,kwani ulisoma huku ili upewe cheti???fuata taratibu za kupata cheti katika chuo chako,huku kamwe uwezipata majibu sahihi yakupata cheti,ndio maana mwenzangu kakujibu...
  6. B

    Masikini gari yangu niliyoagiza, uchakavu kodi mpya!

    mimi naitaji kuagiza kigari,aina ya suzuki carrytruck g 4wd,hesabu zake ziko hivi kutoka japan mpaka bandari ya DSM ni dolla 2300,bandarini wanachukua kodi kiasi gan?na gari yenyewe ni zamani usipime 2002,ushauri unaitajika
  7. B

    Msaada HESLB!

    apo kipengele A,chagua kama na school candidate au ni private candidate,B weka namba ya shule mf =0687,then C weka namba yako ya mtihani,mf= 0042,then kipengele cha mwisho weka Mwaka uliomaliaza,ikizingua upande wakulia kwako kuna sehemu imeandikwa kwa maandishi mekundu desk helpe click...
  8. B

    Rekodi yawekwa,SAUT MTWARA waandamana

    uyo mkuu nae nikilaza tu,afanye utaratibu watu wapate mpunga wao.
  9. B

    Rekodi yawekwa,SAUT MTWARA waandamana

    all the Best SAUT,fanyeni yenu tena diplomsia akishindikana basi wapingwe,cos hii serikali imeoza na sasa naona inanuka,kibinadamu bord wanajua mnakula nn sasa?na hawa police mm sijui wakoje aisee?wanaida serikali mbaya kabisa wengi wao walio pandishwa vyeo awajalipwa,lakini wakiambiwa nendeni...
  10. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Ndug zangu walimu,kuna wahuni wachache wanachukua namba zetu tunazo ziweka kwaajili ya kutaka kubadilishana maeneo ya kazi/kituo cha kazi,wakidai eti wako Tamisemi eti wamepata details zako,mkipigiwa cm na wahuni kama hawa muwe makini sana,usikubali kutuma details zako .
  11. B

    Kukosa Boom kwazua kizaaa zaa RUCO

    kweli aisee,wanachuo wana tia huruma,ila jamani dada zangu Mungu awatie nguvu,mm machozi hadi yananitoka wadada wanavyo tumia njia mbadala kupata kula,sasa hii serikali imekuaje ina maana wao awaoni??huko bungeni wamekaa kimya sasa mjiandaae ,mtakula mtakacho kipanda,hapa anae zingua ni hazina...
  12. B

    RUCO waambiwa wawe wavumilivu bodi ya mikopo haina fedha

    kwa upande wa st.agustine of hippo.nina maanisha tawi ta mwuce,vijana wameendelea kuwa na madenimadeni kutoka kwa in service ambao wanaendelea kula bata na kamshara kao ka kila mwezi,ila kusema kweli hali ya wanachuo mwuce sio mbaya sana cos inservice wana upendo sana.SUBIRA YA VUTA KHERI,PIA...
  13. B

    Msaada wa mawazo kwa mwenye uelewa juu ya hili la tcu/nacte

    lazima upate chuo,cha msingi nasisitiza ukiona point zako sio nyingi chagua private,ukikosa chuo ni mp,jaman 2some cos serikali aitujali walimu kabisa,salary mpaka leo akuna,mm ningekua afisa elimu anaetaka kusoma nampa mpaka nauli akasome.
  14. B

    Msaada wa mawazo kwa mwenye uelewa juu ya hili la tcu/nacte

    irumba#chuo cha serikali chenye ada kidogo kwa sasa ni Udom pekee,the rest tofaut ni kidogo sana,angalia kwenye guide book,udsm ni milion1,vyuo vya sauti ni M1 point 2 mpaka 4,mf Ruhaa ni m1,so chagua vyenye ada ndogo,ila ata serikalin chagua but ukiweke serikali chaguo la kwaza NACTE...
  15. B

    Msaada wa mawazo kwa mwenye uelewa juu ya hili la tcu/nacte

    G.P.A 2.9 ila unapochagua chuo chagua vyuo vya private cos governmen wana ringa sana ,ila chuo kama st Agustine ,makumira,arusha na vingine vingi tuu utapata,shaka ondoa.
  16. B

    Kwa mtaji huu nitumie kigezo kipi kuomba chuo ?

    usihofu kiongozi tuko pamoja sana,incase ukihitaji kujua mambo mengine nicheki hapa 0712872378
  17. B

    Kupata Chuo kupitia NACTE

    wakitangaza udahili wa TCU na nacte wanakua hapo hapo,ukiingia TCU utakuta category ya NACTE so una apply kwa GPA za diploma,its all about.ada kawaida na TCU
  18. B

    Kwa mtaji huu nitumie kigezo kipi kuomba chuo ?

    mm niko chuo man,nilikua kama ww kabisa yani copy na kupest.ila nilicheza mishe nika apply na chet cha dip,wamenipa 50% nakula bata kawaida.so tumia TCU =>NACTE utapata chua na mkopo man wangu,nili maliza 2009 ajira 2012,mwaka jana chuo kama kawa.well come bro. Be with GOD.
  19. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    bunda mwl secondary anaitaji kuja arusha ,kilimanjaro,au manyara,kwa mawasiliano ni 0712872378
Back
Top Bottom