habarin wana jf. nina mdogo wangu alichaguliwa chuo cha mpwapwa lakin hajaripot mpaka sasa kutokana na kutafuta mahitaji pamoja na ada. But now amepata ila wasiwasi wake huko chuoni atapokelewa!? maana chuo kimefunguliwa toka trh 6 mwez wa 10. Pia naomba mweny namba ya mkuu wa chuo au makamu au...
Ndg wana jf naomba kujuzwa kama kuna tofauti ya karo kwa mafunzo hayo maana nacte waliandika gharama ya mafunzo ya stashahada ya juu ni laki 6 but kuhusu mafunzo mengine hawajasema kuwa kiasi gan , naomba kufahamshwa kama kuna tofauti na kiasi gan kwa mafunzo kama stashahada ya kawaida ya elimu...
Habarin wanaJF.
Mwenzenu nimechaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu(diploma) katika chuo cha Mpwapwa lakini kutokana na kupanda kwa ada naona kama ndoto ya kusoma inapotea kutokana na hali mbaya kiuchumi niliyonayo maana sina msaada mwingine zaid ya kujisimamia mwenyewe.
Naombeni ushauri...
Huo Ndo Ukweli Wenyewe Maana Mi Mwenyew Baada Ya Kumaliza Form 6 Nilifanyaga Tempo Somewhere Madogo Walikuwa Wanapaform Vizur Kweny Somo Langu Kuliko Hata Walivokuwa Wanafundsha Hao Wanaojiita Maprofessional Na Niliona Kwa Macho Yangu Kuwa Baadh Ya Walimu Ni Chenga Tu Japo Wamepita Vyuon, So...
Habarin wandugu,
Nina mpenzi wangu ambaye tulianza uhusiano tangu mwaka 2006 yeye akiwa form 2 wakati huo mm nilikuwa form 3.
Tumekuwa katika uhusiano katika kipindi chote hicho tukiwa serious na shule na tulikuwa shule tofauti japo likizo tulikuwa pamoja.
Walinifahamu wazazi wake na yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.