Reputatiom ya PayPal hainipi kuwa na wasiwasi. Na refunds nimeshapokea mara kadhaa na zinarudi kwenye local account (Stanbic) bila tatizo lolote.
Changamoto inaweza kuwa kwa baadhi ya benki ambazo hazina ease of acces kuruhusu imtegration ya PayPal.
Safe and reputable.
Sent using Jamii Forums...
Mkuu,
Pole kwa maswahibu. Nina maswali mawili.
1. Umecheki kuona kama sio Automatic Windows Updates ndo zinamaliza kifurushi chako?
2. Mfumo unaoconnect nao unakuonyesha mita za matumizi? Maana kwa hapa utaweza kuona bandwith kiasi gani imetumika ndani ya muda gani. Hiki kinaweza kuwa kipimo...
Binafsi mabango ya namna hii yananisumbua sana kupita maelezo. Ukiwa unatembea tu utashindwa kuona mbele kwa kuwa lina mwanga mkali mno. Sasa wa kwenye magari ndio kuna tabu hasa. Yafaa jambo lifanyike...
Huwa nasita kusoma vitabu vyake, maana nikianza sitaki kuacha. Na nikiwa nasoma naanza kusikitika - nasikitika kwamba kadri ninavyosoma ndivyo ninavyokaribia kumaliza kurasa. The man has been an inspiration to many, hasahasa mimi.
Hizi ni baadhi ya nakala nilizofanikiwa kutunza baada ya...
Kwa hakika kuna changamoto nyingi ambazo huwa wakinababa, ama kwa ufasaha waume wa watu huwa wanapitia kwenye maeneo tofauti tofauti katika shughuli za mihangaiko.
Huenda ndio kwanza umepata ajira mpya, na hapo ukakutana na kinadada warembo ambao hata wanaweza kumfanya mtu avunje shingo...
Nina hakika katika picha zote ulizoona hujaona ya majeruhi hata mmoja, hapo ina maana gani? Hawapo muda huo, wameshapatiwa msaada unaostahili na kuwahishwa hospitalini. Lakini pia kama ulimuelewa vema, wanaonyookewa hapa ni wale waliojaalwa kuwa na simu zenye uwezo wa kupiga picha, siku hizi...
Habari wadau, si vibaya tukaona namna ambavyo ajali ya Morogoro eneo la Bwawani ilikuwa. Dereva wa Lori la mafuta, alifariki kwenye tukio. Na habari za baadae ni kwamba dereva wa Tata nae alifariki. Poleni wafiwa.
picha zaidi,
Gospel Kitaa™: HABARI PICHA: AJALI ILIYOUA NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.