RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kuipanga upya safu ya Baraza lake la Mawaziri wakati wowote, huku baadhi ya wabunge na mawaziri wakitakiwa kusitisha mapumziko yao ya mwisho wa mwaka na kurejea jijini Dar es Salaam haraka.
Miongoni mwa wabunge waliositisha mapumziko yao na kurejea nchini ni...
Kuna habari kwamba bingwa wa rhymes Afande sele amejipanga kuchukua jimbo la morogoro Mjini 2015 kwa tiketi ya Chadema
Jimbo hilo kwa sasa linakamatwa na Aziz Abood kwa tiketi ya CCM ambaye anatarajiwa kulitetea kwa mara ya pili katika uchaguzi ujao.
Habari za ndani zinadai kuwa CCM...
Matukio ni mengi yaliyoitikisa Tanzania, lakini hili la mawaziri wanne kungoka limefunga mwaka vibaya,
WALIONG'OKA
Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha...
The Commonwealth Scholarships are for students from developing Commonwealth countries for Masters (one-year), PhD, and split-site PhD study in the UK. These scholarships are funded by the UK Department for International Development (DFID).
Read more
Commonwealth Scholarships for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.