Wana kesi ya kujibu maana alimtishia kumuua Kawambwa.
Halafu huyo jamaa boya sana eti yule DSO anamuitwa wewe mtu wa protokali hahaha ila namhurumia he is a deadman walking kwa sababu hahaha aliyempiga kofi Marehemu A. H. Mwinyi hahaha cheza na wastaafu.
Huyo jamaa nimemuona kwenye clip ni...
Hahahaha wewe acha tu. Unajua Dkt Samia wanaendelea kumlaghai na ile timu yake. 2010 Dkt Kikwete alishinda kwa mbinde ina maana kama siyo Dkt Magufuli 2015 chama mfu aka mifupa aka NGO ya gaidi mbowe ingeweza kushinda ila isingepewa nchi kwa sababu kuna jambazi la kuteka magari lema ndani yake
Mbinguni inaenda roho inayoamini, siyo mavazi wala kanisa. Ukiamini basi hapo umemaliza kila kitu. Wewe ni mfano wa wale kizazi cha nyoka yaani mpaka uone ndiyo uamini wakati inaanza kwenye kuamini ndiyo uone matendo makuu ya Mungu. Pia usichanganye uwezo waliotupa Mungu Vs kuamini. Usije...
Wana create sympathy ya magaidi wa kiislamu yasije jitoa muhanga kuua watu USA. Na USA wajanja, wanahakikisha hamas anapata kichapo cha mbwa koko huku wanajifanya kumuonea huruma hahaha
Hahaha yaani wametafuta watoto toka moshi uchagani wakawasafirisha mpaka bariadi, ila hiki chama mfu hakika mungu anawaona. Mnakuwa waongo hivi. Halafu cheki watu wachacheee, angalieni nyomi ya cde CPA Makalla na cde Dr Nchimbi ni balaa
Hahaha hizo ni propaganda zangu za kuififisha hicho cham mfu kionekana hakina watu ili CCM tuendelee kuwa maarufu. Yaani siku zote mi chadema ni cham kilichokufa tangu 2015 na hakina kabisa mashabiki na lema ni jambazi la magari na mbowe ni gaidi na lisu kakimbilia ulaya kuolewa hahaha mtakoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.