Salam ndugu,
Naomba kwa anayejua anijuze ni namna gani nitaweza kuwatibu kuku wangu wa kienyeji kutokana na ugonjwa unaowasumbua.Ugonjwa huo unawatokea kuku ghafla na moja a dalili zake ni kuku kugandiwa na kinyesi katika njia yake ya kujisaidia ambayo hali hiyo hupelekea kuku kudhoofu na...
Wimbo unaitwa WOLOLO,humu ndani bi mkubwa huyu kajua kujiachia jamani..
<a data-cke-saved-href="http://www.youtube.com/watch?v=86d0r-3fmxg" href="http://www.youtube.com/watch?v=86d0r-3fmxg">[VIDEO]http://www.youtube.com/watch?v=86d0r-3fmxg[/VIDEO
Kama hali imekuwa hivyo,mimi namngojea mwana wa...
Kwa jinsi ilivyokuwa kali ile nyimbo,sikudhani hata mara moja kama Godzillah angefanya video mbovu kiasi kile!
Kwa jinsi nyimbo ilivyokuwa na mdundo wa maana,mdundo wa kitemi,mdundo wa hip hop zile za old school,mdundo amsha amsha.Flow za kinyamwezi zote ulizotiririka mule ndani..yani juhudi...
Kuna baadhi ya wasanii ambao walikuwa wanafanya vizuri sana katika tasnia ya maigizo na muziki pia,hivi tujiulize kama hadi leo hii wangekuwa hai wangeweza kuendana na hali ilivyo sasa katika soko la sanaa Tanzania?
1.James Dandu a.k.a Mtoto wa Dandu
Sikufanikiwa kumsikiliza kazi zake nyingi...
Akiwa kacheza mechi tisa za ligi na kufunga magoli nane msimu huu huku mwenzie akiwa kacheza mechi tatu za ligi na kufunga magoli sita,hii inaifanya safu ya ushambuliaji ya liverpool kuwa tishio zaidi kwa msimu huu kwa pamoja wanaunda combination ijulikanayo kama SAS.Hapa nawazungumzia Daniel...
Habari wadau!
Nahitaji mawazo yenu kati ya hawa watu wanne niliowataja hapo, ni nani ambaye anajua kuchambua soka kwa ufasaha zaidi?
Shafih kila siku tunamsikia pamoja na Geofrey Leah, Dr Leaky Abdallah wengi tunamfahamu na hata Edo Kumwembe tunazisoma sana makala zake katika gazeti la...
Namna ya kuandaa papai kama mboga.
1. Chagua papai ambalo ni bichi na wala halijaanza kuiva (itakuwa vizuri kama utachagua papai changa)
2. Viungo vingine unavyotakiwa kutumia ni vile muhimu kama NYANYA,VITUNGUU,HOHO,KAROTI na viungo vingine waweza kuongeza kama utapenda.
MAANDALIZI...
A. Osha...
Mgeni humu ndani,umoja na upendo amani na mshikamano ndio nguzo muhimu...
Natumaini tutakuwa pamoja ktk kuchangia mawazo na kutoa hoja zitakazosaidia kuimarisha mahusiano yetu kama ndugu na kubwa zaidi ni kujenga nchi yetu.
AMANI....By OKHONDIMA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.