Nina uhakika na ninachoandika..niliwahi kununua LG 330W sikuielewa kabisa..niliuza nikanunua LG 1000W naenjoy mziki wa maana..na pia zinapendeza sana ukiziweka sebuleni..sipendagi kuandika kitu nisichokijua kama wewe unabisha upumbavu huku unatumia sabufa ya ALITOP😀
Unaponunua hizi Home T
Ukitaka kununua hizi Home Theatre au Sound Bar zingatia WATTS..kwa LG nunua angalau kuanzia WATTS 1000W..hiyo yako itakua ni 330W so hakuna kitu...pia Sea Piano ni Subwoofer moja imetulia sana tatizo tu brand yao ila ni mziki wake uko poa sana
Sijui kama unaelewa hata unachoandika au unaandika kwa hisia na kukosa elimu!!
Nikusaidie kidogo just google ni ugonjwa upi unaongoza kwa kuua watu Tanzania?au nenda Wizara ya Afya kaulize..basi usipate shida sana kama una akaunti Twitter mtext Odo Ummy Mwalimu muulize hili swali hanaga shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.