Habari wadau... nimepata 100 Bahrain dinar kwenye mtumba nimeangalia exchange rate ni Tshs 69000.
Nimeenda bank kadhaa naambiwa wanadeal na dollars pound na EUR so mwenye kujua wapi naweza kuichange.
Nisaidieni jamani zamani ilikuwa nikipewa like nataarifiwa, mtu akini quote nataarifiwa lakini siku hizi kimya nifanyeje ili iwe kama zamani (hali hii imeanza kama wiki mbili zilizopita)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.