Wasalaam wanajamvi!
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu jambo hili maana mda mrefu sasa nimekuwa nikiwasikia watu wakisema siasa imeingizwa kwenye elimu pindi utumbo Fulani(jambo liletalo hasara) unapofanyika kwenye sekta ya elimu! Cha ajabu hata watu wenye kiwango...
Wanafunzi walioomba vyuo vya afya tajwa hapo juu kwa tumechoka kusubiri!! Wakuu kuna mtu yeyote anaefahamu kinachoendelea kwenye vyuo hivi.....tufahamishane bandugu
Hivi majuzi serikali ilizindua mpango wa kuleta matokeo makubwa kwenye sekta mbalimbali, hapa kuna mengi ya kuzungumzwa hasa kwenye sekta ya elimu tuliofuatilia kilichoendelea kwenye ukumbi wa kisasa wa mwl. Nyerere nadhan tumebakia na maswali mengi yasio na majibu mojawapo na la msingi likiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.