Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtambua Mh. Benjamin Sitta kuwa meya wa Kinondoni. Hukumu hiyo imetolewa leo baada ya mahakama kutupilia mbali hoja za upande wa pili (Ukawa).
Kama mnakumbuka siku ya uchaguzi polisi waliwakamata baadhi ya viongozi na wajumbe wa UKAWA sambamba na ongezeko la...
Tarehe mbili leo, Drama Mpya.
Nimemsikia Prof Muhongo akizungumzia mabadiliko ya bei ya Umeme. Amegusia mambo matatu muhimu.
1. Amesema TANESCO walikua na kawaida ya kujilipa bonus kila mwisho wa mwezi/mwaka. Akaongeza kuwa, mwaka jana alifanikiwa kuokoa mamilioni ya pesa yaliyokuwa yametengwa...
YES:
Mtakufa tu,lazima mfe kwa sababu kila nafsi hai itayaonja mauti.Endeleeni kuonea watu,kunyanyasa wanyonge na kufanya kila aina ya hira lakini mkumbuke kifo kipo na mtakufa.Haijalishi utakufaje ,lakini utawala na mamlaka mlionayo yatafikia kikomo.Ipo siku Watanzania watakua huru...
No UOTE="Masiya, post: 18979546, member: 77348"]Kwa uonavyo wewe njia pekee ya kuona ujumbe huo na kujua namba iliyo-utuma ni lazima mwenye simu akamatwe?
Ni rahisi tu kujiuliza.
Tundu lissu ule Ujumbe aliutoa wap?,na lini aliupata na kana Mwanasheria mbona hakufuatilia kesi police kama ambavyo...
Waacheni police wafanye kazi yao.Wakati mwingine Vitu vidogo tu na vya kawaida,mnatoa macho.
Tundu lissu alionyesha ujumbe wa kutishwa kwa Ben .....Kwa hali ya kawaida lazima akamatwe na police aonyeshe Ujumbe and namba iliutuma huo Ujumbe.Then police waendelee na uchungunzi mwingine.
Mange kimambi hajaanza Leo.Na hakuwahi kumsema mtu wa kawaida ni watumishi wa serikali.
Hakamatwi mpaka Leo na wanasoma newz zake....ukiona train baharini ni pepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.