Juzi kwenye gazeti la mwanahalisi kulikuwa na makala iliyoandikwa na Salva Rweyemamu, ambaye ni mkurugenzi wa habari wa ikulu na mwandishi wa habari wa muda mrefu (alikuwa ni miongoni mwa waanzilishi wa gazeti la rai), makala ile ilikuwa ni majibu ya Salva kwa Profesa Ibrahim Lipunba ambaye ni...
Ndugu wana jamvi naomba hoja zenu katika hili mimi linanitatiza sana. Ni mara nyingi sana kila ninaposikiliza habari au matangazo mbalimbali katika redio zetu au Luninga ninapatwa na mshangao jinsi hao presenters wanavyo potosha jamii. Mfano mzuri ni jana, nilikuwa naangalia habari katika...
Mambo!
Mimi i mwanachama mpyaaaaaaaaa katika kndi tafadhali nikaribisheni ili nami niweze chagia na kuibua changamoto mpya na kujenga jamii yetu. Wazeyaaaa yaliyomo yamo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.