Mi naona inawezekana kuna ukweli, kwa maana MCB wasingeendelea kunyamaza wakati image yao ikiharibiwa na matapeli, ila swali ninalojiuliza ni kumba, je benki inayoanza operation kwa mara ya kwanza ina nguvu kiasi gani mpaka ianze kufungua na branches? au hawa 10 watakuja anza fanya kazi baadae?
Samahani wakuu, mimi ni mmojawapo wa waliotumiwa msg hiyo ya kuombwa rushwa ambapo nilipaswa nitoe jibu kufikia jioni na niliipata msg hiyo mida ya saa 5 as. Wakati huo nilikuwa mwishoni mwa safari kwenda kijijini ambapo isingekuwa rahisi kurudi na kwenda internet cafe kuripoti issue hiyo...
Mungu atafanya kitu.
Ni naamini yangu huu ni wakati ambao Mungu ataenda kuniondolea aibu na kejeli za watu ambao pengine wanadhani walipata elimu bora kuliko yangu, kwani mara nyingi Mungu amekuwa akijitokeza na kujibu shida za watu wake pale GIZA NENE linapokuwa limetanda juu yao na wasijue...
Namshukuru Baba yetu, Mungu Jehova mfalme anayeweza kuwanyanyua walio wanyonge kama mimi. Ni kweli bado safari ni ndefu sana na kuitwa katika usaili huu haina maana nimekwisha ipata nafasi hii, ila naamini Mungu huyu anayewanyeshea mvua wenye haki na wasio haki ataendelea kuwa mtetezi wangu...
Ngugu zangu, hili tatizo la kuhitaji kujua lugha hii kwa kina sio kwa huyo jamaa tu hata mimi pia nina hitaji kama lake ila kwa bahati mbaya mkoa niliopo (Babati, Manyara) sijaona watalaam wanaotoa huduma hii kiufasaha.
Jamani naomba nieleweke hivi, kama jinsi mtoa mada alivyoeleza, suala hapa...
Nionavyo mimi ni hivi, kama umemfuata mtu akakusaidia kwa kutoa kitu kidogo, basini ni makosa na dhambi, lakini kama mtu huyohuyo kaamua kukusaidia pasipo kumpa wala kumwahidi kitu chochote sioni dhambi kama ipo hapo kwani hata Mungu muda muda mwingine huwatumia wajumbe wake ambao ni binadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.