Habari,
Ndugu zangu nimepatwa na tatizo la dharura nahitaji mkopo wa elfu 30. Marejesho baada ya wiki mbili, Riba asilimia 20, dhamana godoro jipya sijawahi kulalia la nne kwa sita.
Napatikana Mbeya vijijini maeneo ya Mbalizi, jinsia yangu mwanamke.
Jamani unadeki, unafua, unaosha vyombo, unaogesha watoto wewe na cm sheee mwisho itumbukie kwenye maji alafu uitwe mzembe majanga kweli kweli ndio maana kuna misd cal
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.